Ninamshukuru Mungu sana kwa kutimiza moja ya ndoto hii ya maisha yangu
Ninamshukuru Mungu sana kwa kutimiza moja ya ndoto hii ya maisha yangu ya kumiliki usafiri .... Mungu amenipa exactly nlichokitaka na nlichokiomba ....sijakopa wala sijaazima NILIMUOMBA MUNGU NA NIKATUMIA KIPAJI CHANGU CHA KUCHEKESHA NA U MC tena sana sana nikiwa na ki kaptura na nguo za shule KILA UNACHOKITAKA KIKO NDANI YAKO ndani ya ujuzi ulio nao,ndani ya kipaji ulichopewa na Mungu ....SI MIMI,SI KIPAJI ILA NI MUNGU MWENYEWE ...20-4-teen is 20-4-Me!
NILIPOFUNGUA MACHO NIKAKUTA AMENIPA TANZANIA NZIMA
Jamani hili pose langu apa mnalionaje?... namalizia send off ya Jacque hapa Dar es salaam ...then ALFAJIRI ntadrive ....sema kudrive.... ntadrive kwenda Dodoma kua Mc katika harusi ya rafiki yangu Andrew Arnold Misana .....NILIFUMBA MACHO NIKAMUOMBA MUNGU ANIPE DAR ES SALAAM NILIPOFUNGUA MACHO NIKAKUTA AMENIPA TANZANIA NZIMA!
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)








