Ninamshukuru Mungu sana kwa kutimiza moja ya ndoto hii ya maisha yangu
Ninamshukuru Mungu sana kwa kutimiza moja ya ndoto hii ya maisha yangu ya kumiliki usafiri .... Mungu amenipa exactly nlichokitaka na nlichokiomba ....sijakopa wala sijaazima NILIMUOMBA MUNGU NA NIKATUMIA KIPAJI CHANGU CHA KUCHEKESHA NA U MC tena sana sana nikiwa na ki kaptura na nguo za shule KILA UNACHOKITAKA KIKO NDANI YAKO ndani ya ujuzi ulio nao,ndani ya kipaji ulichopewa na Mungu ....SI MIMI,SI KIPAJI ILA NI MUNGU MWENYEWE ...20-4-teen is 20-4-Me!
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

blessed brother
ReplyDelete